Yesu wa Tongaren ageuza maji kuwa chai
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from ‘Home of The Untold Stories.’
*About TV47*
‘TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
__
For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
__
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/
Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE
Twitter: https://twitter.com/tv47ke
Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/
TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke
Telegram: https://t.me/tv47_ke
WhatsApp: 0797 047 047
__
Anafaa aogope Judas wanyoni 😅
If God decides to punish Kenya , He will start with luyhas . 😂
Baba mkwe anaambiwa mtoto Wake kaolewa na Yesu 🤣🤣🤣🤣
Huku Tanzania nako mambo si shwari kunamtu amepatikana ati yeye anajiita mungu anawaamru watumishi wake wamuite baba wata yeye ni wakike. Sindyo habari zake huyo zumaridi anayejiita mungu sijui watu wanapata wapi ujasili wa kujiita majina yenye utukufu ama ndiyo manabii wa uongo
Hii Haina difference na Baal worship Ile ya Brazil .Haina difference na illuminati.
😂😂😂
Majibu ya Baba Kwa mke wa yesu Yana kaukweli.😅
Ama bungoma n binguni na hatujui
Watu si wajinga
Riswa shethani
Ni kama
Good even luo are calling raila their jesus…in israel the government ve banned the mentioning of the name Jesus …so all religious group are fake
You are mocking God. You want God wrath to come to you. Your followers are even blind and lost.
You guys need to differentiate between True Christ and false Christ
Pelekeni Ujinga mbali, Mmefanya jina la Mwenyezi Mungu kua mchezo , vinywani mwenu , Atafute kazi ya watchmen akafanye
maisha yakiwa magumu shetani hutumia nafasi hiyo kupotosha watu huyo mzee ni mganga wa kienyeji mkimchekea ataleta mazala makubwa kama ya kibwetele wa uganda aliuwa watu kwa mafuta ya petrol kuweni makini sana na watu kama hawa
kama kweli ni yesu mwambieni aje tanzania kuhubili aje na msalaba halufu tuone kama ni yesu kweli aache kupotosha watu yafaaa asilimu awe mwisramu dini ya kweli isiyo na shaka👃
Sasa kama alisau majina yake anafaa pia kusahau bibi juu yesu hakuwa na bibi wala hakuvaa manguo mengi mengi marangi mengi kaa waganga
Mganga huyo
Joker of the year
Awuoro
😂😂😂😂kenya hii inamambo siutani
😂😂😂😂😂😂
Kenya,kenya kenya,,,nimekuita mara ngapi?simama nishuke.
Hakuna maji aligeuza Chai,huyu atandikwe
3 months ago he had forgotten his name but after kuitwa na police wa bungo he remembered he is Eliud Wekesa simiu😂😂
Yesu Kaka alafu ana mke uyo ni mwenda wazimu
Hiyo maji aliongeza maziwa kiasi na majani na kushuge akafunga hiyo game.
Akaambia Baba yake kijana yako ni Yesu akamjibu wewe ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Amuslim until my last breath this coming drama God forgive his people
What if it's true…I know the problem is the name Jesus… and worst of it… black Jesus… but the vision of Jesus Christ…he appeared a black man… John Paul second said in Congo…God is black… and Jesus is African…